KANUNI NA MUONGOZO
Muongozo kwa wafuatiliaji (subscribers) wetu
1. Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake
2. Topten Tv ina uhuru wa kufuta maoni yasiyo na maadili au yenye matusi au maneno makali
3. Topten Tv ina uhuru wa kupitia maoni kabla hayajaonekana na watu wote 4. Topten Tv ina uhuru wa kumzuia mfuatiliaji aliyekiuka masharti asiweze kuona habari zetu au kuweza kuweka maoni
5.Maoni au matamshi ya mfuatiliaji wetu (Subscriber) sio msimamo wetu kama chombo cha Habari. Hivo Topten Tv haitowajibika kutokana na Maoni ya Wafuatiliaji wetu.
6.Maelezo yote kwenye tovuti hii ni kwa ajili ya elimu tu na hayaondoi uwepo wa daktari, hospitali au dawa. Mara zote pata ushauri wa daktari wako wa karibu juu ya tatizo lako la kiafya linalokusibu kabla ya kutekeleza chochote ulichosoma hapa ukiwa peke yako.